Thursday, October 31, 2013

BLOGS AND WEBSITES MANAGEMENT

COPY AND PASTE MANAGEMENT.

to prevent users or other bloggers from copying the content from their blog or website.
 1. Go to your blogger Dashboard and click on Layout.
   2. Then click on Add Gadget.
   3. Choose Html/Javascript From Popup Window
   4. Now Copy and Paste below code into it.

 <!--MBW Code -->
<!--mybloggersworld.com-->
<script language='JavaScript1.2'>
function disableselect(e){
return false
}
function reEnable(){
return true
}
document.onselectstart=new Function ("return false")
if (window.sidebar){
document.onmousedown=disableselect
document.onclick=reEnable
}
</script>

 5. Now save it and you are done disabling right click on your blog.
*****END*****

OR MANUALY
  Instructions To Follow To Stop Your Blog Posts From Being Copied :-

1--> Login to your Blogger Account.

2--> Go to Blogger Admin Page > Template > Click on Edit HTML.

3--> Ctrl + F and search <head>.

4--> Just below <head> copy and paste the codes

<!--Disable Copy And Paste-->
<script language='JavaScript1.2'>
function disableselect(e){
return false
}
function reEnable(){
return true
}
document.onselectstart=new Function (&quot;return false&quot;)
if (window.sidebar){
document.onmousedown=disableselect
document.onclick=reEnable
}
</script>

Its done :)

Friday, October 18, 2013

MATUMIZI SAHIHI YA CONDOM

Wanaume wengi hawajui matumizi sahihi

Kondomu  zimetengenezwa kwa sura na maumbile, rangi mbalimbali tofauti  ambazo baadhi yake kwa hakika zinavutia kuzitazama.

Hadi sasa, zipo zenye harufu au marashi anuwai kama yale ya ndizi, zabibu, chokoleti na hata zile zenye harufu ya Big G.
 Tukizungumzia kinga bora ya magonjwa ya ngono na mimba sizizotarajiwa hii bidhaa inashika namba moja.

Condom haidhuru mtu yeyote kama zilivyo kinga nyingine za kuzuia mimba ambazo huwasababishia mateso makubwa sana wanawake na wakati mwingine kuwabadilisha kabisa kiakili na kimwili.

Sikatai kila kitu kina side effects zake, lakini jamani nani amewahi kuugua kwa sababu tu katumia Condom?
 Kutumia kondom ya wanaume
 
Condom kwa Tayo
Jinsi ya kutumia kondom TAYO
  • Hakikisha umeangalia mda wa matumizi wa kondom uliyonayo. Kama mda wake (expiry date) wa matumizi umekwisha basi haikufai. Fungua kipakiti chenye kondomu wakati tu ukiwa tayari kuitumia. Bila hivyo yale mafuta mafuta maalum kwenye kondomu yatakauka.
  • Unapofungua pakiti kuwa mwangalifu usiipasue, au kuitoboa wala kuiharibu kondom yenyewe. Ikipasuka itupilie mbali na uchukue nyingine.
  • Kondomu huwa zimesokotwa na kuwa kama duara. Kuivaa, ile sehemu ya mafuta mafuta inapaswa kuwa nje.
  • Hivyo basi ivae kwa kuikunjua kuanzia kwenye ncha (kichwa)cha uume.
  • Ishike sehemu ya chuchu ya kondomu kwa kutumia dole gumba na kidole chako cha kwanza ili kutoa hewa kutoka sehemu hiyo, ili manii yahifadhiwe mahali hapo pale yatakapotoka.
  • Sasa Endelea kuishikilia kondom kwa mkono mmoja. Kwa kutumia mkono wa pili ikunjue hadi kufikia kwenye mavuzi yaani kwenye shina la uume. Kama mtumiaji hajatahiriwa anapaswa kuvuta lile govi la uume wake kabla ya kuvaa kondomu. Kama kondomu haina kilainishi cha kutosha, vilainishi au majimaji (kama vile silicone, glycerine, au K-Y jelly) vyaweza kuongezwa kwa nje. Tahadhari mafuta kama yale ya kupikia, ya kujipaka mwilini kama kama vile Vaseline hayafai kutumiwa kama kilainishi.
  • Baada ya kufanya mapenzi kondomu inapaswa kuvuliwa kwa njia sahihi pia. Baada tu ya kufika kilele na kutoa manii, mwanaume anapaswa kuutoa uume wake kutoka ukeni, kabla haujalegea kabisa, kwani akichelewa huenda kondom ikatumbukia ukeni mwa mwanamke. Kisha ashikilie kondomu kutoka shinani mwa uume na kuivua taratibu pasi na manii kumwagika.
  • Unaweza kuifunga kondom kwenye karatasi na kuitupa kwenye choo cha shimo
  • Usitupe kondom kwenye hooni cha kupiga maji kwani huenda ikatatiza utendaji kazi wa choo hicho.
  • Tumia kondom nyengine kwa kila tendo jengine la kujamiana. Tumia kondom kila wakati unapofanya mapenzi.

Thursday, October 17, 2013

EVANS-P-K: ABDNORMAL MENSTRATION CYCLE.

EVANS-P-K: ABDNORMAL MENSTRATION CYCLE.: WANAWAKE WENYE SIKU ZA MWEZI ZISIZOKUWA ZA KAWAIDA. INASEMEKANA KWAMBA WAPO AINA YA WANAWAKE WENYE MZUNGUKO WA SIKU 15 KATIKA MWEZI AMBAO...

ABDNORMAL MENSTRATION CYCLE.

WANAWAKE WENYE SIKU ZA MWEZI ZISIZOKUWA ZA KAWAIDA.
INASEMEKANA KWAMBA WAPO AINA YA WANAWAKE WENYE MZUNGUKO WA SIKU 15 KATIKA MWEZI AMBAO SUALA LA KUPATA MIMBA KWAO LIMEKUWA GUMU SANA. HII INATOKANA NA SABABU KUWA HAWAWEZI KUJUA TAREHE AMBAZO YAI LINAPEVUKA NA KUWA TAYARI KURUTUBISHWA.
KWA KAWAIDA MWANAMKE ALIYE SAWA HUWA ANA OVARY 2 AMBAZO HUPOKEZANA KATIKA KUTOA MAYAI KWA MWEZI  SASA KWA HUYU MWENYE MZUNGUKO WA SIKU 15 HUWA SIKU YA KWANZA YA HEDHI/ SIKU DAMU INAANZA KUTOKA NDIO SIKU YAI LINAKUWA LIMEPEVUKA TAYARI KWA KURUTUBISHWA. KWA HIVO YEYE HUWA ANAANZA KUBLEED WAKATI HUO HUO OVARY NYINGINE INATOA YAI LILILO TAYARI
SIKU ANAYOANZA KUBLEED NDIO SIKU AMBAYO ANBAKUWA TAYARI KUPATA MIMBA.
-WANAWAKE WA AINA HII HUWA HUTOKWA DAMU KIDOGO NA KWA MUDA MFUPI SIKU 1 AU 2.
-HUWA HAWAZIONI DALILI ZA KAWAIDA AMBAZO MWANAMKE  HUZIONA WAKATI YAI LINAPEVUKA KAMA VILE KUONGEZEKA KWA JOTO LA MWILI AU KUTOKWA UTE UKENI. HII INATOKANA NA SABABU KUWA SIKU YAI LINAPOPEVUKA NDIO SIKU ANAANZA BLEED HIVO HATA AKITOA UTE UTATOKA NA DAMU YA BLEED.
MSAADA PEKEE KWA MWANAMKE HUYU NI KUKUTANA NA MWANAUME / KUFANYA MAPENZI SIKU YA KWANZA ANAYOANZA KUBLEED ILI APATE MIMBA. WENGI HUWA WANAANGUKIA KUTOZAA KABISA SABABU HUANZA KUTUMIA MADAWA AMBAYO HUZIBA KABISA MIRIJA YA MAYAI.

BAADA YA CHAKULA EPUKA HAYA.


HUTAKIWA KUFANYA MAMBO HAYA BAADA YA KULA CHAKULA.


1;USIVUTE SIGARA
Ni dhahiri kuwa sigara ina madhara kiafya, kwa ujumla wake watu wanashauriwa kuacha kutumia. 
Lakini inaelezwa kuwa madhara yake huongezeka mara kumi iwapo mvutaji atavuta mara baada ya kula chakula. 

Utafiti wa kimaabara unaonesha kuwa ukivuta sigara moja baada ya kula ni sawa na mtu aliyevuta sigara 10, hivyo hatari ya kupata saratani huongezeka.
2; USILE MATUNDA
. Usile matunda baada ya mlo kwani ulaji huo hulifanya tumbo kujaa hewa na matokeo yake kusababisha gesi tumboni. 


Usahihi ni kula matunda saa moja au mbili kabla au baada ya kula chakula chako.  Kula matunda muda mfupi tu mara baada ya kula chakula ni kosa ambalo linafanywa na watu wengi na huonekana ni sawa.
3;USINYWE CHAI.
Mara baada ya kula chakula, iwe mchana au usiku, usinywe chai. Kwa mujibu wa utafiti, majani ya chai yana kiwango kikubwa cha tindikali (acid), hivyo unapokunywa chai tindikali hiyo hufanya protini iliyo kwenye chakula ulichokula kuwa ngumu na hivyo kutosagika tumboni haraka, matokeo yake ni mtu kukosa choo kwa siku kadhaa.

4;
USILEGEZE MKANDA
Unaweza usilichukulie ‘serious’ jambo hili, lakini ni jambo la hatari kwa mustakabali wa afya ya mtu. Mara baada ya kula, usilegeze mkanda wa suruali yako, uache kama ulivyokuwa hapo awali kwani kwa kufanya hivyo kunaweza kusababisha utumbo kujikunja na kuziba.
5; USIOGE.

Usioge baada ya kula, bali oga kabla ya kula. Inaelezwa kuwa unapooga baada ya kula, mtiririko wa damu huongezeka zaidi sehemu za mikono, miguu na mwili na kusababisha damu kupungua sehemu za tumboni. 


Damu inapopungua tumboni maana yake ni kudhoofika kwa mfumo wa usagaji chakula tumboni (digestive system).
6; USILALE
Usilale muda mfupi tu mara baada ya kula, kwani chakula ulichokula hakitaweza kusagwa sawaswa na huweza kusababisha vidonda vya tumbo na magonjwa mengine ya kuambukiza kwenye utumbo mdogo.

Friday, October 11, 2013

Breast Cancer Prevention

10 Tips for Breast Cancer Prevention 

1. Avoid becoming overweight. Obesity raises the risk of breast cancer after menopause, the time of life when breast cancer most often occurs. Avoid gaining weight over time, and try to maintain a body-mass index under 25 (calculators can be found online).

2. Eat healthy to avoid tipping the scale. Embrace a diet high in vegetables and fruit and low in sugared drinks, refined carbohydrates and fatty foods. Eat lean protein such as fish or chicken breast and eat red meat in moderation, if at all. Eat whole grains. Choose vegetable oils over animal fats.
3. Keep physically active. Research suggests that increased physical activity, even when begun later in life, reduces overall breast-cancer risk by about 10 percent to 30 percent. All it takes is moderate exercise like a 30-minute walk five days a week to get this protective effect.
4. Drink little or no alcohol. Alcohol use is associated with an increased risk of breast cancer. Women should limit intake to no more than one drink per day, regardless of the type of alcohol.
5. Avoid hormone replacement therapy. Menopausal hormone therapy increases risk for breast cancer. If you must take hormones to manage menopausal symptoms, avoid those that contain progesterone and limit their use to less than three years. “Bioidentical hormones” and hormonal creams and gels are no safer than prescription hormones and should also be avoided.
6. Consider taking an estrogen-blocking drug. Women with a family history of breast cancer or who are over age 60 should talk to their doctor about the pros and cons of estrogen-blocking drugs such as tamoxifen and raloxifene
7. Consider taking the aromatase inhibitor exemestane.  The results of a study released earlier this year showed that the drug exemestane reduced the risk of breast cancer by 65 percent in high-risk, postmenopausal women. Talk to your doctor about whether this may benefit you.
8. Don’t smoke. Research suggests that long-term smoking is associated with increased risk of breast cancer in some women.
9. Breast-feed your babies for as long as possible. Women who breast-feed their babies for at least a year in total have a reduced risk of developing breast cancer later.
10. Get fit and support breast cancer research at the same time. Regular physical activity is associated with a reduced risk of breast cancer. Ascend some of the world’s most breathtaking peaks while raising vital funds for and awareness of breast cancer research by participating in the Hutchinson Center’s annual Climb to Fight Breast Cancer.

Friday, April 19, 2013

LOCK FOLDER

How TO Lock Folder In window XP Without any Softwar
 
To Lock a folder in windows XP without any software. Follow the steps Below.

1. Make a Folder in C drive rename it as "abc" without quotes.

2. Now open Command Prompt from Start Menu.

3. Type "attrib +s +h C:\abc" without quotes and press enter.

4. This command will Make your folder invisble and it can not be seen even in hidden files and folders

5. To make it visible again type "attrib -s -h C:\abc"

6. You can lock any other folder also by changing the location C:\abc to address of your folder

WEBSITE DESIGN.

GUIDELINES FOR GOOD WEBSITE DESIGNING. 

  1. Practice good user interface design. Positioning the various elements of the website, such as the title, sidebars, logos, graphics, and text, in the same places on every page will make your site navigable and intuitive.
    • Keep the same header at the top of every page. Whether or not your site content lends itself to many repeating elements, making sure that the top of every page is identical is a must.
    • Use logic in your design. The elements on a single page should be ordered logically by importance or by topic; the various pages in the site should do the same.
  2. 2
    Create a consistent style. While the layout should give your site structural consistency, the style should give it thematic harmony.
    • Stick with two or three main colors and make sure they harmonize well.
    • Avoid using too many font styles or sizes; if you do plan to alternate between a few, make sure you use them the same way on every page.
    • Use Cascading Style Sheets (CSS) to manage uniform style, and to make it easier to change elements across an entire website without having to go to every individual page.
  3. 3
    Maximize readability. To make your text easier to read, break it into smaller sections.
    • Use subheadings and appropriate spacing to separate each of the sections.
    • Use bold or different-sized fonts to show the hierarchy and importance of the topics.
    • Pay attention to text handling. Don’t make the font too small, and widen the line spacing to make large blocks of text more readable. Large blocks of text will be harder to read; break these up into smaller paragraphs instead.
  4. 4
    Make your website universally readable. Use standard HTML and avoid tags, features, and plug-ins that are only available to one brand or version of a browser.
    • Although most modern browsers and computers can handle complex images, everything will be a little snappier if your keep your images smaller in size and optimized for the web. Balance the desire for quality against the need for speed.
  5. 5
    Test your website. Make sure that every link works as you expect, and that images appear correctly.
    • You may want to conduct some usability tests by having members of your target audience test the clarity and ease of use of your design, and give you feedback on your website.
  6. 6
    Publish your website. If you haven’t already done so, buy a domain name. Check links periodically to make sure they still exist and listen to suggestions emailed to you by website visitors.
..

Thursday, April 18, 2013

EVANS-KISAYE

EVANS-KISAYE

MAPENZI KINYUME NA MAUMBILE;

Madhara kwa Wanaume Wanaopenda Kufanya Mapenzi Kinyume na Maumbile Haya Hapa . 


Madhara anayoyapata mwanaume anayependa mchezo huo wa kufanya Mapenzi kinyume na maumbile ni kama ifuatavyo:-



#: Husababisha kusinyaa au kuweka makovu kwenye njia ya haja ndogo.

#: Njia ya haja ndogo kuziba kiasi au kuziba kabisa.
#: Kupata saratani (kansa) ya tezi za figo (prostate gland).
#: Kupata magonjwa sugu ya uti wa mgongo.
#: Kuharisha.
#: Maambukizi ya VVU ambapo mwisho wake ni Upungufu wa Kinga Mwilini (Ukimwi).
#: Baadaye mhusika kupata msongo wa mawazo au sonona kwa kujutia tendo hilo.
KWA UPANDE WA MWANAMKE.

Ukizoea sana kupigwa nyuma na mishipa ya huko kutanuka, basi inasemekana kuwa utatatizwa wakati wa kujifungua/kuzaa, si hivyo tu bali unaweza ukawa na tatizo la kuvuja mkojo kwani hutoweza kukaza tena misuli yako ukeni ambayo hulegea baada ya kuzaa.
Swala muhimu sio kutisha watu bali kuwaelimisha na kuwaachia wao wachague mchele upi na pumba zipi. Ukiangalia yale yote yanayokatazwa au kuitwa miiko ndiyo yanayofanywa zaidi kuliko yale tunayoruhusiwa kuyazungumzia na kuyatenda.

Kila mwenye tatizo aende kwenye hospitali yoyote kubwa iliyo karibu au Tiba ya kwanza ni kuachana na mchezo huo kisha unaweza kufanya taratibu zingine za kucheki afya yako.

Wednesday, April 17, 2013

PC-- TRICX.

FLASH DISC
if u hv a flasdisc chances are tht uv probably come across the error message tht "device is write protected,
WHAT THT ACTUALLY MEANS!
Write protection is any physical mechanism tht prevents modification or
erasure of valuable data on a device.

IT ALWAYS DOESNT HAVE TO BE A BAD THING
write protection is usually triggered by two things, a physical lock on
the device or change in the window registry settings
this can be either done by u to prevent pipo stealing ur stuph or at times
its done by viruses which modify ur registry

HOW TO FIX THIS PROBLEM
PHYSICAL SOLUTION
lyk i said earlier some times its just a lock on the device itsself which
just needs to b moved in the right direction. so inspect ur device thouroughly
to see if it has tht lock them move it it the opposite direction and
vuala! ur done

WINDOWS REGISTRY SOLUTION
so if even after moving the lock ur still facing the zib or ur device does nt
have a lock then most definately there cud be a virus tht has changed the
registry settings. so to change them back do the dew(sori i mean do this)

#1)Open Start Menu >> Run, type regedit and press Enter,
this will open the registry editor.

#2)Navigate to the following path:

HKEY_LOCAL_MACHINE\SYSTEM\CurrentControlSet\Control\StorageDevicePolicies

the 1st tym i posted this some pipo cud to find StorageDevicePolicies if thts the
case them we ill have to create it ok?

CREATING THE BATCH FILE
so if from step 2 u cant see StorageDevicePolicies we shall create a batch program
to add it.

#a)open notepad and past in this code:
cd\
reg add "HKLM\System\CurrentControlSet\Control\StorageDevicePolicies" /t Reg_dword /v WriteProtect /f /d 1

#b)then save it as add.bat and run it.

#c)wen u repeat the procedure above up to step 2 ul now see StorageDevicePolicies

u can also just download tht batch file from here:

http://www.troublefixers.com/wp-content/uploads/Miscellaneous/add.bat


and run it:

CONTINUING NOW WTH STEP 3
#3)Double click the key WriteProtect in the right pane and set the value to 0
in the Value Data Box and press OK button

#4) Exit Registry, restart your computer and then again re-connect your USB pen
drive on your computer.

THTS IT...UR DONE!

Remember knowledge is a gift from God bt what u choose to do wth it
determines if u are a good or bad person.

these and more are on my page:
https://www.facebook.com/pages/Computer-how-tos/139157672914470

drop by my website www.cengkuru.com
and buy me a drink or something!
 

DALILI ZA MWANAMKE ANAYEKUPENDA 


1. Atakutega kupata attention yako. Hufanya mambo ambayo yatamfanya kuona kama unampenda au lah! Mf wa mambo hayo ni kujifanya anaumwa na kuangalia respond yako kwake ni kiasi gani unamjali na kiasi gani utahangaika kwa ajili yake au


2. Haoni aibu kugusa sehemu yako ya mwili. Msichana anayependa haoni aibu kukushika mkono ama kukutomosa au hata kukumbatia. Kwa kufanya hivyo hujua kuwa kwa asilimia kubwa hisia za kushikana kwenu kutamrahisishia kazi ya kuwa na wewe

3. Kucheka kwa nguvu hata kwa kitu kisicho chekesha endapo wewe umezungumza. Mara nyingi ataonesha uso wa furaha hata kama si furaha ya kweli

4. Wivu.
Hujisikia wivu anapokuona na wasichana wengine. Ukiwa unachart nao na ukiwaita majina ya kimahaba. Hapendi.

5 anakumbuka siku zako muhimu. Hukumbuka kama vile siku yako ya kuzaliwa hatowez kuisahau kufanya ipite bila kukutakia heri ya siku ya kuzaliwa kama sivyo ukifaulu mtihani au chochote katika maisha yako atakuwa mbele kukupongeza

6. Eye contact anapenda kukuangalia machoni muda wote ambao mtakuwa mkizungumza pamoja akidhani kuwa utaelewa ni kiais gani anakupenda kupitia vile ambavyo anakuangalia.
Ila wengine huona aibu kuwatazama wavulana wanaowapenda si wote wana ujasiri wa kuwatazama wapenzi wao.

7. Hupenda kukaa mmuda mwingi na wewe. Hawezi kupoteza hata sekunde ukimuhitaji kwa mazungumzo. Anajisikia furaha kukaa na wewe muda mrefu bila kuchoka. Anaweza akaacha kila kitu anachokifanya ili ajumuike na wewe.

8. Yupo tayari kuangamiza. Kama msichana anakupenda yupo tayari kusacrifice. Ni kitu ambacho hakuna mtu ambaye anaweza akafanya kwa mtu mwingine. Utaona vipi huyo msichana alivyo kwako na wa wengine. Yaani yupo tayari yeye akose lakini wewe upate na kwa mwingine anaweza akamwamba hana alichoombwa lakini akakupa wewe kama pesa na vitu vingine.

9. Anachukulia matatizo yako kama ni yake. Unapomueleza kuwa ana tatizo anajali tatizo lako kama vile ni lake na hujisikia vibaya sana na kuhuzunika na atafanya lolote ili aweze kukusaidia utoke katika hilo tatizo.

10. Mikwaruzano ikitokea katika urafiki wenu hayupo tayari kukupoteza kabla hajakuambia anakupenda. Kwa kuwa anakupenda endapo ikatokea mikwaruzano basi atafanya juu chini kuyaweka mambo sawa

Friday, January 11, 2013

KANSA YA MATITI.

KUNYONYESHA HUPUNGUZA UWEZEKANO MKUBWA KUPATA KANSA YA MATITI;
Mbali na ukweli kwamba kunyonyesha ndiyo chanzo cha lishe bora kabisa kwa mtoto, wanasayansi sasa wanadai kwamba kunyonyesha pia kunaweza kupunguza uwezekano wa mama kupata kansa ya matiti kwa asilimia 25 hadi 60.

Hizi ni habari njema kwa akina mama wa Afrika ambao kimsingi huchukulia kunyonyesha kama mojawapo ya wajibu wao baada ya kupata mtoto. Pengine hii inaweza kuwa ndiyo sababu iliyofanya saratani ya matiti isijidhihirishe sana Afrika.

Wasiwasi wangu ni juu ya kizazi kipya ambacho kinaiga mambo ya Kimagharibi kwa pupa. Nimeshasikia kwamba mabinti wengi sasa hawana hamu tena ya kunyonyesha vichanga vyao wakichelea kuharibu matiti na miili yao. Ukijumlisha na vitu vingine vinavyoingia Afrika vikiwemo vyakula vilivyolimwa "kisayansi", madawa na mabadiliko mazima ya mfumo wetu wa maisha, sitashangaa kama kansa itafumuka na kuwa ugonjwa wa kawaida tu muda si mrefu ujao. Hili likitokea, atakayefaidika bila shaka ni makampuni ya madawa ya nchi za Kimagharibi - na naamini kwamba hiki ndicho wanachotaka. Tuweni waangalifu na tuache mambo ya kuiga vitu kiholela bila kuelewa hasa kiini chake.

Monday, December 10, 2012

matatizo ya kutofika kileleni

Mjengengee hali yakukuamini katika penzi lenu
  Kama upo kwenye uhusiano wa mapenzi na mwanamke ambaye ana matatizo ya kutofika kileleni au hajawahi kufika mshindo na kuishia kusikia kwa mashoga zake kuwa mapenzi matamu, bila shaka akikueleza hili kabla ya majambozi mtaishia wote kuchanganyikiwa kisaikolojia na hatimaye gemu lenu likawahalina majambozi yaani mtacheza chini ya kiwangoi kuytokana na hofu kutawala.

Katika hali ya kawaida kama mwanamke atashindwa kufikishwa kileleni na ampendaye basi hukosa hamu ya kufanya tendo siku nyingine anapohitajika kutoa penzi na hata akikubali kufanya basi hufanya kwa kutimiza wajibu kwani huwa hajui utamu wa majambozi, na mwanaume anayeshindwa kutotosheleza mpenzi wake kwa kumpa dozi inayostaili hadi kusikia utamu usiosimulika huyo uwezo wake huwa ni mdogo ambapo mimi huwa napenda kumuita jogoo.

Ndiyo je, unashangaa nini ushawahi muona jogoo alivyofasta kumaliza haja zake za mwili na kumuacha tetea akijiuliza anarudi tena ama ndiyo kaenda maana tetea hubaki kachutama akizani jamaa atarudi kumbe ndiyo imetoka babakeee!

Kimsingi mahusiano mengi yamevunjika kama siyo kutawaliwa na usaliti kutokana na tatizo hili hivyo kama wewe ni mwanaume, mwanamke au ni wapenzi ambao mmedhamiliya kujifunza jinsi ya kumfikisha kileleni mwanamke na kumfanya ajisikie furaha ya ajabu ambayo wanawake wachache tu duniani huipata kwa vidume vinavyojua kujishughulisha kunako sita kwa sita yaani namaanisha wanaume wasio wabinafsi kunako majambozi, tafadhali soma makala haya kwa umakini kisha nenda kayafanyiye kazi haya nitaninayokueleza:-

HATUA YA KWANZA: USIMPRESHE WALA KUJIPRESHA!

Kadri mwanamke anavyojitahidi kuvuta hisia na kujishughulisha kwa namna moja ama nyinyingine kuweza kuinua hamasa yake ya mapenzi ili kuhakikisha anafika kileleni, ndivyo atakavyoweza kusikia raha ambayo humuwezesha kufikia mshindo.

Amini usiamini hata wanawake ambao wao wakishikwa kidogo tu kwenye kipengele G yaani g-spot na kupigwa katelelo kwa dk 1 hufika kileleni pindi wanapokumbana na presha kutoka kwa wapenzi wao basi hushindwa kufikiakwenye kilele cha raha hata kama mwanaume huyo atadumu kwenye uwanja wa mapambano kwa dk 30!

Mwanamke yoyote yule anapokumbana na presha zisizo na sababu toka kwa mwenza wake dakika chache kabla ya majambozi au kwenye uwanja wa malavedave basi hushindwa 'kupizi' kwani hata kama wazungu (bao) wakiwa wanakuja na dume likaanza kumpandisha presha wazungu hurudi kwao!

Hali hii haiwakumbi wanwake tu bali hata wanaume hushindwa kuwajibika vema faragha pindi wanapokumbana na presha za hapa na pale toka kwa wawapendao.

Hivyo basi wewe mwanaume ili uweze kumfikisha mwenza wako kileleni unapaswa kuhakikisha unaacha kumuuliza unakuja? siju la azizi unakaribia kukojoa? au mpenzi nakufanya vizuri? unajisikia raha? nakukamua vizuri kuliko ....(unamtajia mpenzi wake wa zamani)?

Njia mbadara ya kukabiliana na presha ni kutoelekeza fikra zako kwenye kupiga mabao, fuarahia mchakato mzima wakufanya mapenzi bila shaka unatambua kuwa mapenzi yanayolenga kufurahishana/kupena traha nyote huhitaji kufuata process zote muhimu na hayataki mapenzi ya kuu yaani yaani unamnyatia mpenzi wako na nadni ya dk 3 umeshamsaula na kumkamua na gemu linaisha mwanamke wa watu hata hisia hazijamuamka kidume uko pembeni unatweta yaani mipumzi ya mmmmh kibao, tumia muda wakutosha kutomasana na katika kipindi hiki cha kuandaana ndipo unapohitaji kuhakikisha unamaliza presha zote mlizonazo.

Hatua hii ya kwanza ukiitekeleza basi unaweza ukabadilika katika mtazamo wako juu ya kufanya mapenzi kwani wanaume wengi huwaza kukamua bao zaidi ya mojawakiamini kuwa kwa kufanya hivyo wanamfikisha mwanamke kitu ambacho nsi kweli kwani mwanamke unaweza ukamkojolea hata bao 7, lakini ukashindwa kumfikisha hivyo kama utaweza kutoa wazo la bao ngapi leo namchapanazo na kuondoa presha pindi mnapokuwa faragha, unaweza kushikwa na butwaa kwa jinsi mtoto wa kike atakavyokuwa anakulalamikia kwa raha anayoipata kitandani na kwa mara ya kwanza unaweza kusikia akikwambia nakuja dear......usiniulize anakuja wapi kudadeki!

HATUA YA PILI:

SAHAU SUALA YA KUJIFUNZA MBINU MPYA YA KUMKAMUA UMPENDAYE

Najua wengi wenu mnanishangaakwani mnaamini kuja na staili mpya kwenye uwanja wa mapambano ndivyo unavyoonyesha uwezo wako wakumudu mambo furani pindi unapokuwa faragha nataka nikuhakikishie kuwa kwa kuja na staili mpya kila kukicha ni vigumu sana kumfikisha mwanamke kileleni kwani yawezekana kabisa staili hiyo ikawa inamuumiza lakini anashindwa kukwambia kwa kuwa tu anataka usimuone mshamba hayajui mapenzi hiyo ataugulia kimya kimya bna kwa sababu hiyo basi mawazo yake yote huamia kwenye jinsi gani atatoa ushirikiano wakutosha kwenye hiyo staili mpya uliyompelekea hivyo basi ni vigumu amasa zake za mapenzi kuamka na kujiskia raha ambayo wewe mwanaume mbinafsi uliyetoka kuangalia mkanda wako wa ngono kama siyo kusimuliwa na wenzako kijiweni staili hiyo uliyoingia nayo ulingoni siku ya shughuli utaipata.

Hapa naomba niseme ukweli wanaume wengi wanapenda staili ya kubongolewa sizungumziii ule mchezo machafu wa tigo naomba nieleweke kwana, mwanaume akibongolewa na kulianzisha humchukua sekundwe kadhaa kupiga bao kwani hujisikia raha isiyo kifani kuyaona matikiti maji (wowowo) likizungushwa kwa madahaa huku nyonga ikienda kushoto kulia na ni balaa mwanamke akiwa anajua kukitumia kiuno chake hapo mwanaume anaweza kushituka hata hajakaa sawa wazungu hao! Ndiyo huu ndio ukweli lakini kwa bahati mbaya wapo dada zangu fulani fulani wao wanaangalia wanenguaji wa akudo huko wanavyochezesha nyonga zao kisha wanaenda kuwakatikia madume zao, hii haikubaliki duniani kote kiuno kinachotakiwa kwenye majambozi ni kile kinachogandishwa kiaina yaani kinapelekwa kushoto,chini, juu, kulia kama vile anayekipeleka hataki vile, yap nimekumbuka ni kama vile viuno vya mitego wanavyocheza wadada fulani kwenye taarabu yaani kama mwanaume umekamilika basi ukamwona dada fulani anacheza taarabu kama umekaa hutoinuka kudadadeki ujasili utautoa wapi wakati athumani kichwa wazi udenda unakuwa ushaanza kumtoka!

Mwanaume unachopaswa kuhakikisha ni kuwa unatumia staili ambayo itamuwezesha na mwenza wako kufika kileleni kisha kuendelea na staili zingine kwani wanawake wengi hufika mshindo mara moja tu na wachache hufika kileleni zaidi ya mara moja na kumbuka wengi hufika kileleni kwa kuchezewa ipasavyo kipengele G yaani sehemu zenye ahamasa ya mapenzi kwa mwanamke kuliko utamu wa kusimikwa mzizi


HATUWA YA TATU

Mjengengee hali yakukuamini katika penzi lenu, hakika mwanamke anapobaini kuwa unampenda na humtendi ni rahisi sana kupata raha ya mapenzi pindi mnapokuwa kwenye majambozi kwani mnapokuwa faragha hisia zake za mapenzi huwa juu sana si kwa kile kinachoendelea kwenye mwili wake bali hupanda juu kwa kuwa yupo na mtu anayempenda na kumthamini na anayejua nini maana ya kupenda hivyo kama kweli unampenda mwanamke unayetaka kuanzisha naye uhusiano ama uliyenaye katika uhusiano wa mapenzi hakikisha unaziba mianya yote ya yeye kuwa na mashaka juu yako yaani mfanye amini kuwa unampenda na ni yeye pekee aliyeiteka nafsi yako.


Mwanamke akiamini unampendahakika utazifaidi zake zabibu na katu hatakusaliti kwani utakuwa unamtosheleza kwa kila kitu yaani unampa mapenzi ya dhati ambayo wengi huitaji lakini huishia mikononi mwa walaghai kadhaa ambao wanajua vema kucheza na lugha na maneno matamu kuwapatia mabini za watu na wakishafunuliwa tu huanza nyodo na pengine kuwasahau wapenzi wao yaani wao kuwasiliana nademu wake kwa wiki mara moja ama wiki mbili mara moja tena mawasilainao yenyewe yanaanza mambo vipi na baada ya dakika chache kidume unaulizia mchezo sasa kwa staili hiyo usitegemee kabisa unapokuwa naye faragha utamdatisha kiasi cha kumfikisha! Thubutu yako atakupa miguno ya kinafiki na kukwambia nakuja kumbe hana lolote amechoka kuendelea kukupa huduma hiyo na anaona unamkera tu kwa kuendelea kwako kuwa kifuani na akiona unang'ang'ania basi bwana size atakupunguzia na kufanya msuguano uwe mkubwa sana kiasi cha kukufanya uhimili kukaa kifuani kwa sekunde kadhaa tu yaani wazungu anawaita kwa nguvu na wao bila hiyana wanakuja na usiombe kama unacheza mechi hiyo bila jezi mziki bake utautambua!

Nimalize kwa kusema kuwa jaribu leo, kesho na siku zote za maisha yako kufanya haya nayokueleza umfikishe kileleni umpendaye kwani vinginevyo wenzio watakusaidiakumuonyesha mpenzio raha za dunia kwa mambo matamu kumpatia na kumfanya abaki akigugumia kwa mambo matamu aliyopatiwa na kumng'angania aliyemjumpatia, usishanagye wapo hivi leo ambao wapo kwenye ndoa zao lakini wanashindwa kuachana na maboyfriend zao kutokana na kukereheshwa na kalaa za ndoa zao kwani waweza kukuta mwanamke amevumilia kwa miaka 10 kumtunzia heshima mumewe lakini janaume likawa linashinda baa wee na kungogewa kuanza kuwalamba wahudumu, sasa mke akibaini na akikutana na walimu vipofu huyooooanaenda kumtafuta bwana wake aliyekuwa anampatia kwenye mechi.

MWANAMKE KURIDHIKA

Saikolojia inavyotatua tatizo la mwanaume kufika kileleni mapema!


MWANAMKE KUFIKA KILELENI HARAKA

Kama ambavyo wengi tunatambua kuwa sehemu kubwa (asilimia 99.5) ya kufurahia ngono ni Mapenzi ya kweli juu ya mpenzi wako ikisaidiwa na utundu wako wewe mwenyewe pale unapokua kitandani mwanamke na sio mwanaume japokuwa baadhi ya wanawake hutegemea wanaume wawafanyie kila kitu mpaka kuwafikisha kileleleni.

Wakati mwingine wanaume tuchoka kwa

vile kwa kawaida wanawake wanachukua muda mrefu zaidi kufikia mshindo ukilinganisha na sisi wanaume, kwamba mwanamke anafika ndani ya dakika 10-15 wakati mwanaume anafika ndani ya dakika 1-5 unless awe anajua kujizuia nahapo ndio atakwenda mpaka dakika 45 na baadhi huondoka zaidi ya hapo kutokana na kutosisimuliwa vilivyo (yaani akikupanda hamalizi mpaka uke unakauka na wewe mwanamke hamu inakuishia) hahahahaha usiombe ukutane na mwanaume wa namna hiyo coz utaona hakuna raha ya mapenzi!

JINSI YA MWANAMKE KUFIKA KILELENI KWA KUJISAIDIA WEWE MWENYEWE..
Mbinu ya kuita kilele sio ngumu kama wengi wanavyodhania coz kuna wengine hawajui hata kufika kileleni ndo nini, na ikiwa umebahatika kuwa na mwanaume mwenye uwezo wa kujizuia basi unaweza kupiga 3 ktk mzunguuko wa kwanza .

Unapokuwa ukifanya mapenzi hakikisha akili yako yote iko kwenye kufanya mapenzi, sio lazima umfikirie mpenzi wako bali unaweza kufikiria chochote kitakacho kufanya "unyegetuke" zaidi wakati "mzigo" uko ndani ya uke .

Mfano wee mwanamke unaweza kuwaza/kujisemea "natombwa sasa", unaweza kumuuliza mpenzi wako akuambie anafanya nini in rude way , au kama mwanaume wako anakujua vizuri basi anaweza akaanza kusifia Uke wako ulivyo, anavopenda kukufanya n.k (wengine nasikia huomba kutukaniwa wazazi wao.....hey it works 4 them so jaribu na wewe umwambie mpenzi wako akufanye vile utakavyoona utajisikia raha zaid)

Jinsi jamaa yako anavyokufanya wewe pia msaidie...... jisaidie na hakikisha unahangaika kupata "kipele" (mahali unaposikia raha zaidi pakiguswa), ukisha hisi dudu imekugusa pnapo utamu mwambie mwanaume wako atulie hapo hapo na wewe anza kufanya "makaratee" zunguusha kiuno chako ktk pembe zote (badilisha mirindimo) na wakati unafanya hivyo hakikisha unabana pumzi na kuiachia papo kwa hapo (hakikisha huiachii kwa muda mrefu yani in sec unabana na kuiachia).

 Malalamiko yanayotolewa na baadhi yao yanaonesha kwamba, muda wa kumaliza tendo huwa kati ya nusu dakika na dakika tatu kwa tendo la kwanza, huku wengine wakimaliza hamu katika hatua za awali tu za hamasa ya kimahaba.

Hata hivyo, kumetolewa maelezo na nafuu ya ongezeko la muda katika tendo la pili na kuendelea, ingawa bado suala la kutangulia kufika kileleni kabla ya wanawake limekuwa likiwahuzunisha wanaume wengi.

Ni ukweli usiopingika kuwa, mwanaume anapowahi kufika kileleni kabla ya mwenzake humsababishia kero mwanamke anayeshiriki naye tendo, kwani humwacha njia panda pasipokuwa na hitimisho la raha ya kujamiiana.

Hali hii inatokana na maumbile ya uume wa mwanaume ambao husinyaa mara baada ya kuhitimisha mbio zake, lakini kwa mwanamke kuwahi si tatizo, kwani hakumfanyi ashindwe kumsindikiza mwenzake hadi kileleni.

Utofauti huu ndiyo unaowafanya wanaume wahuzunike zaidi wanapokabiliwa na janga hilo kiasi cha kufikia hatua ya kwenda kwa waganga/matabibu ili iwasaidie kuepuka balaa ya kutoka uwanjani na aibu.

Ingawa kumekuwa na mafanikio katika tiba za kisayansi, lakini bado wanaume wameshindwa kupata ukombozi wa kudumu wa tatizo hili. Wengi wamejikuta wakijiongezea mzigo wa fikra kwa kuzitumaini zaidi dawa au kuzitumia na kupata matokeo mabaya zaidi ya kuishiwa nguvu kabisa.

Kwa kufahamu mikinzamo iliyopo kati ya akili na tiba ya nguvu za kiume na madhara yachipukiayo imebainika kuwa, mtu anaweza kujitibu tatizo hilo kwa kutumia kanuni za kisaikolojia na mafanikio yasiyo na madhara yakapatikana.
Wataalamu wa kisaikolojia wanatambua kuwa kanuni ya ufanyaji mapenzi iko zaidi kwenye ubongo kuliko mwilini.

Kinachotokea hadi mtu akapata msisimko wa kufanya mapenzi si mwitikio wa mwili, bali ni utambuzi wa akili juu ya kiwango cha mapenzi kilichopokelewa kwenye ubongo unaojihusisha na hisia.

Usikose kumalizia somo hili wiki ijayo kwenye gazeti hili uweze kutambua mbinu za kuweza kulimaliza tatizo hili kisaikolojia. Ushauri wa masuala ya kimaisha na matatizo yote yanayohuzunisha unatolewa,

  Inaelezwa kuwa, akili ikishiba vigezo na kutuma taarifa zenye usahihi kwenye mwili viungo hupokea hisia na kuanza kusumbua. Kwa msingi huo kama tunataka kufika kileleni mapema au kuchelewa lazima tucheze zaidi na akili kuliko mwili.

Katika hali ya kawaida nguvu ya kupenda inayomwingia mtu huwa kubwa, lakini suala la kupunguza ukubwa wa hisia lazima lipewe kipaumbele. Jambo kubwa linalowasumbua wanaume wengi wenye tatizo la kufika kileleni mapema ni kuwa na PUPA ya kufanya mapenzi.

Wengi wao hupokea hisia zilizokuzwa na kwenda nazo katika ufanyaji wa tendo la ndoa. Saikolojia inaelekeza kuwa ili mwanaume achelewe kumaliza, lazima apunguze mhemko unaotokana na kuona, kuhisi na kupagawishwa na staili au chombezo toka kwa mwanamke.

Anachotakiwa kufanya ni kutumia zaidi ya dakika 20 kufanya maadalizi na mpenzi wake kabla ya kuanza tendo. Hii itasaidia kuufanya mhemko wake ushuke na kumuongezea muda wa kumaliza.

Aidha mbinu ya kuidanganya akili lazima itumike ili kuzima taarifa za juu za uzuri wa mwanamke, maumbile na raha ya starehe isipokelewe kwa nguvu kubwa mwilini. Hii ikiwa na maana kuwa kuna kipindi inabidi fikra za mwanume zisihamasike sana kwenye tendo badala yake iletwe mawazoni hali ya kawaida, si ile ya kuweweseka na kuhema hema hovyo. Yafuatayo ni maelekezo ya msingi ya kufanya, ili mtu asifike kileleni mapema:

Mume na mke wanapoingia katika uwanja wa mapenzi wakae kwanza kwa muda, huku wakiwa wamejiachia na mavazi mepesi. Pili wacheze michezo mingi kwa muda mrefu bila kuanza kazi yao. Wakiwa kwenye hamasa hizo wasiwe kimya bali wazungumze na kuulizana maswali ya kimahaba.

Baada ya hapo mbinu nyingine ya kuzuia mbegu za kiume zisitoke ni ile ya kujibana. Inashauriwa kuwa mwanaume akiona dalili za awali za kumaliza bila kujali ametumia muda gani anachotakiwa kufanya ni kukaza misuli ya miguu na kuzuia mbegu kwa mtindo atumiao kuzuia haja ndogo isitoke.

Kujibana huko kunatakiwa kuende sambamba na kuacha kucheza ‘shoo’. Pacha na hilo mwanaume anatakiwa kuidanganya akili kwa kuilazimisha iwaze jambo jingine hasa la kuhuzunisha ili kuharibu taarifa za raha zilizotumwa mwilini zisiendelee kufanyiwa kazi na hatimaye kumaliza tendo haraka.

Zoezi hili linaweza kuwa gumu katika hatua za kwanza kutokana na kukosea muda sahihi wa kujizuia, lakini mhusika akiendelea kujizoeza atajikuta anaweza na kupata uwezo wa kufanya mapenzi hata kwa saa nzima, hivyo kuondokana na tatizo hilo bila tiba wala madhara. Kwa ufafanuzi zaidi wa tatizo hili na upungufu wa nguvu za kiume nunua kitabu cha Saikolojia na Maisha. Wanawake wengi wanagombana na watu wao kwa sababu kama hizi, hawavutiwi kuwaona waume wao wakiwahi kufika kileleni, hivyo kushindwa kuwapa dozi inayotosheleza.

Wanasikitishwa na hali ya wenzi wao ya kukosa nguvu za kutosha wakati wa kufanya tendo la ndoa ama ugoigoi wa kuchelewa kurudiwa na nguvu za kufanya kweli.

Aidha, wanakosa amani wanapobaini kwamba wapenzi wao hawana msisimko wakati wa kufanya yale ‘mambo yetu’. Hata hivyo, tunapogeuka kisaikolojia hili si tatizo kubwa, bali linahitaji kutuliza akili.

Ninaposema kutuliza akili, nakuwa namaanisha kuwa wengi hawana magonjwa yanayohitaji dawa, isipokuwa wanasumbuliwa na matatizo ya kisaikolojia tu.

Vijana na baadhi ya watu wazima wengine wanaenda kwa waganga na wakati mwingine wakijikuta wanajiingiza katika matumizi ya mitishamba bila kuelewa kwamba ugonjwa wao haupo kwenye kasoro za kimaumbile, bali upo akilini.

Hapa nataka tukubaliane kwamba jambo kubwa linalowasumbua wanaume wengi wanaodai kuwa hawana nguvu ni ukosefu wa elimu ya mabadiliko ya kibinadamu na ufahamu duni wa mbinu za kuwawezesha kucheza michezo ya kimapenzi kwa ufanisi.

Mpenzi ni sanaa pana, ina mafunzo mengi na ili uimudu, unatakiwa ujifunze kila siku mabadiliko yaliyopo. Sambamba na hilo, kujua mapito, mazingira, mabadiliko ya mwili na kuyakubali ni mambo ya msingi.

Pamoja na matatizo haya kuwakera wanawake kama nilivyotangulia kusema, huwafanya wanaume kukosa amani. Mara nyingi wanaopata dosari hizi, hujihisi wana nuksi.

Hata hivyo, mshangao unaokuja hapa ni kwamba wanaume hupenda kutafuta mbinu za kutatua tatizo lao bila kuwashirikisha wenzi wao, kana kwamba wao haliwahusu.

Saikolojia inatambua kuwa tatizo la upungufu wa nguvu za kiume ni zao la udhaifu wa mke na mume na sio la mwanaume peke yake kama watu wengi wanavyodhani.

Kwa mfano, mwanaume atapata wapi msisimko wa kimahaba kama mwanamke hatakuwa mtundu wa kubuni mbinu za kuufanya mwili uliopoa usisimke?
Atavutiwa nini mwanaume kurudia awamu ya pili, ikiwa kwenye mzunguko wa kwanza alikutana na harufu isiyofaa? Nakshi nakshi humuongezea mwanaume hamu ya kutaka tena na tena. Huo ndiyo ukweli!
Napenda niweke ukweli kweupe, mara nyingi tatizo la msisimko wa kurudia tendo, husababishwa na mwanamke mwenyewe. Kwa maana hiyo, ili litatuliwe ni lazima ziwepo juhudi za pande mbili.

Thursday, November 22, 2012

MAMBO YA KUZINGATIA IWAPO UNATAKA KUSHIKA MIMBA

MAMBO YA KUZINGATIA IWAPO UNATAKA KUSHIKA MIMBA

 Kuna sababu mbalimbali zinazoweza kumfanya mtu asishike mimba. Sababu hizo zinaweza zikawa zinamhusu mwanamke, mwanamume au wakati mwingine kutojulikana kabisa hali hiyo imesababishwa na nini. Wataalamu wanasema kwamba kwa miaka 20 iliyopita matatizo yanayohusu kushindwa kuzaa yameongezeka kwa kiwango kikubwa na asilimia 25 ya watu wanaotaka kubeba mimba na kuzaa mtoto wanakabiliwa na tatizo hilo.

Ni kweli kuwa kwa kawaida watu wengi hubeba mimba na kujaaliwa mtoto pale tu wanapofanya tendo la ndoa. Lakini jambo hilo halitokeo kwa watu wote na ingawa kwa baadhi ya watu kila kitu huonekana kwenda sawa lakini pia hushindindwa kubeba mimba. Utafiti unaonyesha kwamba katika kila familia au 'couples' 5 zinazojamiiana katika wakati muafaka wa ovulation ni moja tu ndio hufanikiwa kupata mtoto, huku karibu wanawake 9 kati ya 10 wakifanikiwa kushika mimba baada ya kujaribu kutafuta mtoto kwa mwaka mmoja mzima bila kuzuia mimba. Hivyo basi nawaomba wale ambao wamekuwa wakifanya jitihada za kufuata maelekezo ili waweze kushika mimba lakini hawakufanikiwa, wasife moyo kwani ipo siku jitihada zao hizo zitazaa matunda.

Mambo ya kuzingatia iwapo unataka kushika mimba…

• Kwanza kabisa ni kuhakikisha kuwa kabla ya yote unamona dokta wako au unakwenda hospitalini na kufanyiwa vipimo ili kujua kama afya yako iko salama au la kwa ajili ya kushika mimba. Baadhi ya vipimo vinavyoshauriwa kufanywa ni pamoja na

1. General examination au uchunguzi wa jumla.

2. Kipimo cha kensa au Pap smear.

3. Kipimo cha magonjwa ya zinaa (STD) kama vile Chlamydia ambao wanaweza kuathiri uwezo wako wa kushika mimba.

4. Kipimo cha damu cha kuangalia kama una upungufu wa damu, Rh na kinga yako ya mwili dhidi ya ugonjwa wa Rubella.

5. Kipimo cha mkojo cha kuchunguza iwapo una ugonjwa wa kisukari. Ugonjwa wa kisukari huweza kumzuia mtu asishike mimba hata iwapo mzunguko wake wa mwezi uko sawa, anapata Ovulation na kidhahiri anaonekana hana tatizo lolote.

6. Kama una paka nyumbani au unakula sana nyuma (red meat) pengine si vibaya pia kupima kipimo cha Toxopmasmosis infection.

7. Kuyajua na kuzingatia baadhi ya mambo yanayoathiri kushika mimba ambayo ni pamoja na:-

• Ingawa unene unaweza kumzuia mtu asishike mimba lakini kufanya mazoezi sana na kuwa na uzito mdogo sana wa zaidi ya kilo 50 huweza pia kumsababisha mtu asishike mimba. Mazoezi ya kupindukia pia huathiri homoni mwiilini.

• Kuwa na fikra nyingi na msongo wa mawazo 'stress' huweza pia kauthairi uwezo wa mtu wa kushika mimba.

• Kutokula vizuri na kutopenda kula kwani humkosesha mwanamke au hata mwanamme baadhi ya virutubisho muhimu vinavyotakiwa kwa ajili ya kufanikisha suala la kushika mimba (nitazungumzia vyakula vinavyosaidia kushika mimba baadaye)

• Sigara, marijuana na pombe ni miongoni mwa vitu ambavyo vinaweza kuathiri uwezo wa kubeba mimba. Mwanamke anayetaka kubeba mimba anashauriwa aache kunywa pombe na kuvuta sigara. Mwanamume pia anashauriwa kuacha kuvuta sigara kwani sigara huathiri kiwango cha mbegu za kiume za mwanamme.

Yafuatayo ni baadhi ya mambo yanayomsaidia mwanamke kushika mimba:

• Anza kutumia vidonge vya Folic Acid, vidonge hivyo mbali ya faida nyinginezo humkinga mtoto atakayezaliwa na magonjwa ya ubongo. (Neural Tube Defect) kama vile Spinal Bifida na mengineyo. Dozi ni kwa uchache miligramu 0.4 za Folic acid kwa siku, miezi mitatu kabla ya kuanza hata kutafuta mtoto.

• Endelea tu na tendo la ndoa bila kuchoka au kukata tamaa, lakini ni bora nguvu zihifadhiwe kwa siku chache kabla ya Ovulation na siku kadhaa baada ya hapo ili mwanamume aweze kuboreshe na kuhifadhi mbegu zake kwa ajili ya siku hizo, Usikimbie chooni au bafuni baada tu ya kukutana kimwili na mwenzio. Kulala kwa dakika kadhaa baada ya tendo la ndoa huongeza uwezo wa mbegu ya kiume kuweza kuendelea kukutana na yai la kike na hivyo kuongeza uwezekano wa kubeba mimba.

• Jiepushe kunywa kahawa na binywaji vinginevyo venye caffeine. Waataalamu wanasema caffeine huweza kukuongezea matatizo ya kushindwa kushika mimba.

• Jiepushe na kutumia dawa za aina yoyote bila ushauri wa daktari. Dawa zinazonunulika maduka ya dawa bila ulazima wa cheti cha daktari au Over-the-counter drugs inabidi zitumiwe baada ya kushauriana na daktari.

• Usitumie baadhi ya vitu vinavyoufanya uke uwe na hali itakayoua mbegu za kiume au kupunguza majimaji yake. Vitu hivi ni kama spray mbalimbali na tampons zinazotumiwa na wanawake ili kuufanya uke uwe na harufu nzuri. Mafuta ya aina mbalimbali na jeli kwa ajili ya kulainisha sehemu za siri, mafuta ya kula (vegetable oils) glycerin na mate. Vitu kama hivi kufanya Ph ya uke isiwe ya kawaida na huweza kuua mbegu ya kiume, kusababisha baadhi ya magonjwa ya wanawake au kupunguza majimaji ya ukeni ambayo yanatakiwa ili kusafirisha mbegu za kiume.

• Hakisha mwenzi wako hafanyi kazi au hawi katika mazingira yenye mada hatari ambazo hupunguza uwezo wa mbegu za kiume au kutungwa mimba. Kufanya kazi kwenye mazingira ya joto kali sana kama vile mwanaume wanaofanya kazi kwenye matanuri ya kupika mikate, viwanda vya mafuta na miale hatari baadhi ya wakati huwa na matatizo ya kutozaa. Hivyo kabla mwanamke hajaanza kujilaumu kwa nini hashiki mimba, mwanamme wake pia anapaswa kufanyiwa uchunguzi kamili kuhusiana na suala hilo. Pengine ni suala ambalo wengi hatulijui kwamba katika tiba iwapo mke na mume au mtu na mwenzi wake wana tatizo la kutopata mtoto, wawili hao kwa pamoja hupaswa hufanyiwa vipimo na wala sio mwanamke mwenyewe. Hivyo iwapo unashindwa kushika mimba, hakikisha pia mwenzi wako hana tatizo pia. Wanaume pia kama walivyo wanawake hukabiliwa na matatizo mengi tu yanayosababisha familia kukosa watoto. Matatizo kama vile upungufu wa mbegu za kiume, uchache wa mbegu, kutokuwa na kasi mbegu na mengineyo ni miongoni mwa matatizo kibao ambayo mwanamume anaweza kuwa nayo na kukosa mtoto. Hivyo tabia ya kuwatizama wanawake kwa jicho la lawama katika jamii na kuwanyooshe kidole pale mimba inaposhindikana kushika ni kinyume cha ukweli wa kitiba na uhalisia.

• Usichoke kufuata mzunguko wako wa Ovulation na kufanya tendo la ndoa katika wakati ambao mwili wako (ewe mwamamke) uko katika siku za kuweza kushika mimba.

Monday, November 19, 2012

KISUKARI.

UGONJWA WA KISUKARI
UNADHIBITIWA AJE?

Ugonjwa wa kisukari ni ugonjwa ambao mwili hauzalishi au kutumia vizuri insulini. Insulini ni homoni ambayo inageuza chakula kuwa nguvu ambayo mwili inahitaji li kufanya kazi. Ugonjwa wa kisukari unaweza kusababisha mwili kuwa na sukari nyingi kwenye damu, ambayo inaweza kuumiza moyo, ubongo, figo, mishipa ya damu, na meno ya mtu. Ugonjwa wa kisukari unaweza kusababisha upungufu wa kuona, upungufu wa kufanya kazi kingono, au kifo.
AINA KUU ZA UGONJWA WA KISUKARI
Aina ya 1 ya ugonjwa wa kisukari unapatikana katika watoto na vijana. Ilikuwa ikijulikana zamani kama ugonjwa wa kisukari wa vijana.
Aina ya 2 ya ugonjwa wa kisukari ndiyo aina ya ugonjwa wa kisukari inayojulikana sana. Hadi hivi karibuni, aina ya 2 ya ugonjwa wa kisukari ilikuwa ikipatikana sana katika watu wazima. Hivi sasa inatambuliwa katika watoto zaidi kwa sababu ya watoto wengi ambao ni wanono, au wazito, na wasiofanya kazi.
Ugonjwa wa kisukari wa ujauzito unapatikana katika wanawake wengine wajawazito

.
UGONJWA WA KISUKARI
UNADHIBITIWA AJE?
Hakuna tiba ya ugonjwa wa kisukari, lakini inaweza kudhibitiwa kwa:
• Kula vizuri
• Shughuli za kimwili (mazoezi)
• Kuacha kufuta sigara
• Madawa (ikiwa inahitajikana)
Vidokezo vya kula vizuri:
• Kula vyakula vya aina nyingi kila siku
ili upate vitamini na madini ambayo mwili wako inahitaji ili kukua na kuwa mwenye afya.
• Kula kidogo au viwango vichache vya chipsi, biskuti, karamu, peremende, siagi, majarini, kachumbari, chumvi, vyakula vilivyokaangwa, aiskrimu na soda.
• Kula vyakula vidogo ambavyo vimekaangwa au vilivyo na wanga
yenye mafuta mengi (vitobosha, biskuti, au mafini).


NJIA ZINGINE ZA KUFANYA VYAKULA
KUWA VIZURI:


• Jaribu mikate iliyo na nafaka na mahindi kama vile mkate wa ngano na wali ya hudhurungi.
• Kula matunda na mboga nyingi.
• Tumia mafuta kidogo sana, au siaga wakati unapopika.
• Tumia mafuta ya kupika ya mboga ya kinyunyizio badala ya mafuta, kinyunya, siagi au majarini.
• Jaribu kuoka, kubanika, kuanika, kulainisha kwa mvuke, au kuchoma badala ya kukaranga.
• Kula vipande vya nyama vyenye mafuta kidogo kama vile kuku, batamzinga, au nyama ya ngombe isiyokuwa na mafuta.
• Tumia maziwa, chizi, na mtindi isikiyokuwa na mafuta (machunda) au iliyo na mafuta ya chini (1%).
Familia na marafiki wanaweza kukusaidia kudhibiti ugonjwa wako wa kisukari kwa kukusaidia kupata mazoezi zaidi na kuchagua vyakula vyenye afya.

Mazoezi ni muhimu katika kudhibiti na kuzuia ugonjwa wa kisukari. Inapendekezwa kwamba kila mtu (wanaume na wanawake, vijana na wazee) wafanye mazoezi mara 3 kila wiki kwa dakika 30. Unaweza kufanya kazi zaidi kwa kucheza mpira (mpira wa miguu) mpira wa kikapu, mpira wa mkono, kuruka kamba, kutumia ngazi au kwenda kutembea na familia.
Ikiwa una ugonjwa wa kisukari, unapaswa:
• Kutumia dawa kama ilivyoagizwa na daktari
• Kuangalia sukari yako ya damu kama ilivyoagizwa
• Kubeba kitambulisho kinachotoa jina lako, anwani, hali ya kimatibabu,
na madawa
• Vaa nguo na viatu vyenye starehe
• Kunywa maji mengi
• Fanya mazoezi kila wakati
• Beba peremende, maji ya matunda, zabibu kavu, au kumbwe zingine zilizo na sukari nyingi iwapo sukari yako ya damu itaenda chini

Friday, November 16, 2012

Udhibiti wa saratani

UTHIBITI WA SARATANI AU KANSA...

Upasuaji

Kinadharia, aina za saratani // kansa zisizo za kihematolojia zinaweza kutibiwa kama zitaondolewa kabisa kwa upasuaji, lakini jambo hili huwa haliwezekani kila wakati. Wakati kansa // saratani imeenea kwenye maeneo mengine ya mwili kabla ya upasuaji, utoaji kamili kwa kufanyia upasuaji kwa kawaida hauwezekani. Katika muundo wa Halstedia wa jinsi kansa // saratani inavyoendelea, uvimbe hukua ndani (ya seli moja), kisha kuenea kwenye limfu nodi, kisha kwenye sehemu zingine za mwili. Jmabo hili limesababisha umaarufu wa tiba za ndani pekee (sehemu iliyoathiriwa) kama vile upasuaji wa saratani ndogo. Hata uvimbe mdogo ulio katika sehemu moja unaendelea kutambulika kama ulio na uwezo wa kuenea.
Mifano ya taratibu za upasuaji wa kansa // saratani ni pamoja na mastektomia(upasuaji wa matiti) kwa kansa // saratani ya matiti, prostatektomia (upasuaji wa tezi kibofu) kwa kansa // saratani ya tezi kibofu, na upasuaji wa kansa // saratani ya mapafu kwa kansa // saratani ya seli zisizo ndogo za mapafu. Lengo la upasuaji linaweza kuwa ama kuondolewa kwa uvimbe pekee, au sehemu nzima ya mwili // ogani. Seli moja ya kansa // saratani haiwezi kuonekana kwa macho lakini unaweza kukua tena na kuwa uvimbe mpya, mchakato uitwao kutokea tena. Kwa sababu hii, mwanapatholojia atachunguza Sampuli iliyotolewa ili kuamua ikiwa ina kiasi kidogo cha tishu zilizo na afya // zisizo na ugonjwa, na hivyo kupunguza uwezekano wa kuwa seli ndogo kabisa za kansa // saratani zimesalia katika mgonjwa.
Juu ya kuondolewa kwa uvimbe msingi, upasuaji mara kwa mara ni muhimu kwa kuamua hatua ulipofika ugonjwa, kwa mfano, kuamua kiwango cha ugonjwa huo na kama umeenea hadi limfu nodi za eneo hilo. Uamuzi wa hatua ulipofika ugonjwa ni kiukilia kikubwa cha utambuzi wa ugonjwa na haja ya tiba itakayosaidia.
Mara kwa mara, upasuaji ni muhimu kudhibiti dalili, kama vile kubanwa kwa uti wa mgongo au kuzibwa kwa uchengelele. Jambo hili linajulikana kama matibabu ya kutuliza // kupunguza.

Matibabu kwa njia ya eksirei

Makala kuu ya: Radiation therapy
Matibabu kwa njia ya eksirei ni matumizi ya mnururisho wa kuweka ioni ili kuua seli za kansa // saratani na kunywea uvimbe. Matibabu kwa njia ya eksirei yanaweza kupenwa kupitia nje ya mwili kwa kutumia boriti ya nje ya tibaredio (EBRT) au ndani ya mwili kupitia tibaredio ya ndani. Athari za matibabu kwa njia ya eksirei huathiri eneo linalotibiwa pekee. Matibabu kwa njia ya eksirei hujeruhi au kuharibu seli katika eneo linalotibiwa ("tishu lengwa") kwa kuharibu nyenzo za kimaumbile za seli hizo, hivyo basi kuzifanya zishindwe kuendelea kukua na kugawanya. Ingawa mnururisho huharibu seli zilizo na saratani // kansa pamoja na zile za kawaida, seli nyingi za kawaida zinaweza kupata nafuu kutokana na madhara ya mnururisho na kufanya kazi vizuri. Lengo la matibabu kwa njia ya eksirei ni kuharibu seli za kansa // saratani kwani seli nyingi za kansa // saratani zinawezekana, na kwa wakati huo kuzuia madhara kwa tishu zilizo karibu zenye afya. Kwa hiyo, aina hii ya matibabu hutolewa kwa sehemu nyingi, na kuruhusu tishu zenye afya kupata nafuu katikati ya sehemu hizi.
Matibabu kwa njia ya eksirei yanaweza kutumika kutibu karibu kila aina ya uvimbe imara, ikiwa ni pamoja na saratani // kansa ya ubongo, matiti, mlango wa uzazi, zoloto, mapafu, kongosho, tezi kibofu, ngozi, tumbo, uterasi, au sarkomasi yenye tishu laini. Mnururisho pia hutumiwa kutibu lukemia na limfoma. Kipimo cha mnururisho kwa kila eneo hutegemea mambo kadhaa, ikiwa ni pamoja na kiwango cha hisi kwa mnururisho cha kila aina ya kansa // saratani na kama kuna tishu na viungo vilivyo karibu vinavyoweza kuharibiwa na mnururisho. Kwa hiyo, kama ilivyo na kila aina ya matibabu, matibabu kwa njia ya eksirei yana madhara yake.

Tibakemo

Makala kuu ya: Chemotherapy
Tibakemo ni matibabu ya kansa // saratani kwa madawa ("madawa ya kupigana na kansa // saratani") ambayo yanaweza kuharibu seli za kansa // saratani. Katika matumizi ya sasa, neno "tibakemo" kwa kawaida hurejelea madawa ya sitotoksiki ambayo kwa jumla huathiri seli zinazojigawanya kwa haraka, tofauti na matibabu lengwa (angalia hapo chini). Madawa ya tibakemo huingilia ugawanyaji wa seli kwa njia mbalimbali zinazowezekana, kwa mfano kupitia kurudiwa kwa DNA au mgawanyo wa kromosomu mpya. Aina nyingi za tibakemo hulenga seli zinazojigawanya kwa haraka na hazilengi seli za saratani // kansa pekee, ingawa kiasi fulani cha umaalum kinaweza kuja kutoka na seli nyingi za kansa // saratani kutokuwa na uwezo wa kukarabati uharibifu wa DNA, jambo ambalo seli ya kawaida kwa ujumla zinaweza. Kwa hiyo, tibakemo ina uwezo wa kusababisha madhara kwa tishu zenye afya, hasa zile tishu zilizo na kiwango cha juu cha kubadilishwa (km bitana ya matumbo). Kwa kawaida seli hizi hujitengeneza zenyewe baada ya tibakemo.
Kwa sababu baadhi ya madawa hufanya kazi vyema zaidi yakiwa pamoja kuliko yakiwa peke yake, aina mbilia au zaidi za madawa mara nyingi hupeanwa kwa wakati mmoja. Jambo hili linaitwa "tibakemo iliyochanganywa"; madawa mengi ya tibakemo hupeanwa kwa kuchanganywa.[5]
Matibabu ya baadhi ya lukemia na limfoma yanahitaji matumizi ya dozi ya juu ya tibakemo, na mnururisho wa mwili wote (TBI). Matibabu haya huyeyusha uboho, na hivyo uwezo wa mwili kupona na kujaza damu tena. Kwa sababu hiyo, uboho, au kuvuna seli za shina la damu zilizo pembeni hufanywa kabla ya sehemu ya matibabu inayohusisha uyeyushaji, ili kuwawezesha "kuwaokoa" baada ya matibabu imepewa. Jambo hili linajulikana kama uatikaji wa seli za shina kutoka mwili mmoja. Vinginevyo, seli za shina zinazohusishwa na damu zinaweza kuatikwa kutoka kwa mfadhili asiyehusika lakini aliye na seli zinazofanana.(MUD).

Matibabu ya kulenga

Makala kuu ya: Targeted therapy
Matibabu ya kulenga, ambayo yalianza kupatikan kwa mara ya kwanza katika mwisho wa miaka ya 1990, yamekuwa na athari kubwa katika matibabu ya aina fulani za saratani, na kwa sasa ni sehemu iliyo inayohusisha kazi nyingi ya utafiti. Aina hii ya matibabu inahusisha matumizi ya ajenti maalum kwa ajili ya kuharibu protini za seli za saratani // kansa. Madawa madogo yanayolenga molekuli kwa jumla huwa vizuizi vya miliki za vimeng'enya juu ya protini zilizo ndani ya seli za kansa zilizobadilika badilika, zilizo wazi zaidi, au kwa vinginevyo zilizo muhimu. Mifano maarufu ni vizuizi vya tirosini kinasi imatinibu (Gleevec / Glivec) na jefitinibu (Iresa).
Matibabu ya kingamwili ya aina moja ni mkakati mwingine ambapo wakala wa matibabu ni kingamwili ambayo hasa hujifunga kwa protini kwenye uso wa seli za kansa // saratani. Mifano ni pamoja na anti-HER2/neu kingamwili ya trastuzumab (Heseptini) inayotumika katika kansa // saratani ya matiti, na anti-CD20 kingamwili rituksimabu, inayotumika katika aina mbalimbali za madhara // magonjwa ya Seli-B.
Matibabu ya kulenga pia yanaweza kuhusisha peptidi ndogo kama "vifaa elekezi" ambavyo vinaweza kujifunga kwa uso wa vipokezi vya seli au matriki iliyo nje ya seli iliyoathirika inayozunguka uvimbe. Radionuklidi zilizoambatishwa kwa peptidi hizi (mfano RGDs) hatimaye huua seli ya kansa // saratani ikiwa nuklidi itaharibikia katika sehemu zilizo karibu na seli hiyo. Hasa oligo au multima za motifu hizi zinazojifunga zina mvutio mkuu, kwa kuwa zinaweza kusababisha umaarum na shauku bora zaidi za uvimbe.
Matibabu kwa nguvu za mwangaza (PDT) ni matibabu ya kansa yenye awamu tatu na yanayohusisha kihisishamwanga, oksijeni ya tishu, na mwangaza (mara nyingi kwa kutumia leza). PDT inaweza kutumika kama tiba kwa kasinoma ya uso wa seli (BCC) au saratani ya mapafu, PDT pia inaweza kuwa muhimu katika kuondoa athari za tishu zenye madhara baada ya kuondolewa kwa uvimbe mkubwa kupitia upasuaji.[6]

Matibabu kupitia kingamaradhi

Kasinoma ya seli za figo (sehemu ya chini kushoto) katika Sampuli ya figo.
Makala kuu ya: Cancer immunotherapy
Matibabu ya kansa kupitia kingamaradhi yanarejelea mikakati tofauti ya kimatibabu iliyoundwa kuchochea mfumo wa kinga ya mwili wa mgonjwa kupambana na uvimbe. mbinu za kisasa za kuzalisha jibu la kinga dhidi ya uvimbe ni pamoja na matibabu ya kingamaradhi ya BCG yanayowekwa ndani ya mishipa kwa kansa ya kibofu cha mkojo iliyo juu juu, na matumizi ya intaferoni na sitokini zingine kuchochea jibu la kinga katika wagonjwa walio na kasinoma ya seli za figo na melanoma. Chanjo za kuzalisha majibu maalum ya kinga ndizo mada zinazofanyiwa utafiti wa kina katika aina kadhaa za uvimbe, hasa melanoma inayoweza kuua // kudhuru na kasinoma ya seli za figo. Sipuleucel-T ni mkakati unaofanana na chanjo katika majaribio ya baadaye ya kikliniki ya kansa ya tezi kibofu ambapo seli za dendriti kutoka kwa mgonjwa huwekwa kwa peptidi za kibofu zenye asidi fosfati ili kuchochea jibu maalum la kinga dhidi ya seli zilizotokana na kibofu.
Uatikaji wa seli za shina za alojeni hematopoetiki ("uatikaji wa uboho" kutoka kwa mfadhili asiye na jeni zinazofanana) unaweza kuchukuliwa kama aina ya matibabu kwa kutumia kingamaradhi, kwani seli za kinga za mfadhili mara nyingi zitashambulia uvimbe huo katika tukio lijulikanalo kama athari za kipandikizi dhidi ya uvimbe. Kwa sababu hii, HSCT ya alojeni husababisha kuongezeka kwa kiwango cha kutibu kuliko uatikaji wa autolojia katika aina kadhaa za kansa, ingawa madhara pia ni makali zaidi.
Matibabu kwa kingamaradhi yanayohusu seli ambapo seli Asili za Kuua za wagonjwa (NK) na T-Limfositi za sitotoksi (CTL) hutumiwa yamekuwa yakitumiwa katika Ujapani tangu mwaka wa 1990. Seli za NK na CTL kimsingi huua seli za kansa wakati zimekuwa. Matibabu haya hupeanwa pamoja na aina zingine za matibabu kama vile upasuaji, matibabu kwa njia ya eksirei au tibakemo na hujulikana kama Matibabu ya Kuimarisha Kinga ya Aina Moja (Autologous Immune Enhancement Therapy) (AIET)[7][8]

Tiba kwa kutumia homoni

Ukuaji wa baadhi ya saratani unaweza kuzuiwa kwa kutoa au kuzuia homoni fulani. Mifano ya kawaida ya aina za uvimbe zinazoathiriwa na homoni ni pamoja na baadhi ya aina za saratani za matiti na tezi kibofu. Kuondoa au kuzuia estrojeni au testosteroni mara kwa mara ni matibabu muhimu ya ziada. Katika baadhi ya aina za saratani, matumizi ya agonisti za homoni, kama vile projestojeni yanaweza kuwa na manufaa ya kimatibabu.

Vizuizi vya anjiojenesisi

Makala kuu ya: Angiogenesis inhibitor
Vizuizi vya anjiojenesisi kuzuia ukuaji mkubwa wa mishipa ya damu (anjiojenesisi) kwamba vivimbe huhitaji ili kuishi. Baadhi ya vizuizi hivi, kama vile bevacizumab, vimekubaliwa na vinatumika kwenye kliniki. Mojawapo ya matatizo makuu ya madawa ya kupambana na anjiojenesisi ni kwamba mambo mengi huchochea ukuaji wa mishipa ya damu katika seli za kawaida au zenye kansa. Madawa ya kupambana na anjiojenesisi hulengo jambo moja tu, hivyo kwamba mambo mengine huendelea kuchochea ukuaji wa mishipa ya damu. Matatizo mengine ni pamoja na njia ya matumizi, kudumisha utulivu // uthabiti na shughuli na kulenga katika mishipa ya uvimbe.[9]

Udhibiti wa dalili

Ingawa udhibiti wa dalili za saratani kwa kawaida haufikiriwi kama matibabu ya moja kwa moja ya kansa, ni kiukilia muhimu cha ubora wa maisha ya wagonjwa wa kansa, na una jukumu muhimu katika uamuzi wa iwapo mgonjwa anaweza kupokea matibabu mengine. Ingawa madaktari kwa ujumla wana ujuzi wa kimatibabu wa kupunguza maumivu, kichefuchefu, kutapika, kuhara, kutokwa na damu na matatizo mengine ya kawaida kwa wagonjwa wa saratani, taaluma mbalimbali na maalum za huduma za kupunguza zimeongezeka hasa katika kukabiliana na mahitaji ya udhibiti wa dalili ya kikundi hiki cha wagonjwa. Jambo hili hasa ni sehemu muhimu ya huduma kwa wagonjwa ambao magonjwa yao hayawezi kutibiwa kwa aina zingine za matibabu. Kwa kuwa matibabu mengi ya saratani huhusisha madhara ambayo kwa kiasi kikubwa hayapendezi // yana kera, mgonjwa aliye na matumaini madogo ya kupata tiba anaweza kuamua kutafuta huduma za kupunguza pekee, na kukwepa matumizi ya matibabu makali zaidi yanayompatia kipindi kirefu cha maisha ya kawaida.
Madawa ya maumivu, kama vile afyuni na oksikodoni, na an, madawa ya kuzuia kichefuchefu na kutapika, hutumika sana katika wagonjwa walio na dalili zinazohusiana na saratani. Madawa bora ya kuzuia kutapika kama vile ondansetroni na analogu, pamoja na aprepitanti yamefanya matibabu ya haraka kuweza kufikiwa zaidi katika wagonjwa wa saratani.
Maumivu sugu kutokana na kansa karibu mara zote huhusishwa na tishu kuendelea kuharibika kutokana na utaratibu wa maradhi au matibabu (yaani upasuaji, matibabu kwa njia ya eksirei, tibakemo). Ingawa daima kuna jukumu la sababu za kimazingira na vurugu zinazoathiri katika mwanzo wa tabia za maumivu, hizi huwa si kwa kawaida sababu kuu za mwanzo wa magonjwa katika wagonjwa walio na maumivu ya saratani. Aidha, wagonjwa wengi walio na maumivu makali yanayohusiana na kansa wanakaribia mwisho wa maisha yao na huduma za kupunguzu dalili hizi zinahitajika. Masuala kama vile shutumu ya kijamii ya kutumia opioidi, hali za kazi na utendaji kazi, na matumizi ya huduma ya afya yanaweza kutokuwa muhimu katika udhibiti wa jumla wa kesi hiyo. Kwa hiyo, mkakati wa kawaida wa kudhibiti maumivu ya kansa ni kweka mgonjwa katika hali ya starehe iwezekanavyo kwa kutumia opioidi na madawa mengine, upasuaji, na hatua zingine za kawaida. Madaktari wamekuwa wakisita kuagiza dawa za kutia usingizi kwa maumivu katika wagonjwa wa kansa isiyotibika, kwa hofu ya kuchangia katika ulevi au kupunguza uwezo wa kupumua. Kikundi cha huduma za kupunguza, kikundi cha hivi karibuni kilichotoka kwenye kile cha hospice, kimesababisha uungaji mkono uliotanda zaidi wa matibabu ya kwanza zaidi ya maumivu kwa wagonjwa wa saratani preemptive.
Uchovu ni tatizo kubwa sana na la kawaida kwa wagonjwa wa kansa, na hivi karibuni tu ndipo limekuwa muhimu vya kutosha kuwafanya wanaonkolojia kupendekeza matibabu, hata kama lina nafasi kubwa katika hali ya maisha ya wagonjwa wengi.

Utafiti

Majaribio ya kikliniki, ambayo pia hujulikana kama utafiti, hufanyia majaribio tiba mpya katika watu walio na kansa. Lengo la utafiti huu ni kupata njia bora za kutibu kansa na kuwasaidia wagonjwa wa kansa. Majaribio ya kikliniki huchunguza aina nyingi za matibabu kama vile dawa mpya, njia mpya za kufanya upasuaji au matibabu kwa njia ya eksirei, michanganyiko mipya wa matibabu, au mbinu mpya kama vile tiba ya jeni.
Majaribio ya kikliniki ni mojawapo ya hatua za mwisho za mchakato wa muda mrefu na wa makini wa utafiti wa kansa. Utafutaji wa matibabu mapya huanza katika maabara, ambapo wanasayansi kwanza hubuni na kuchunguza mawazo mapya. Kama njia inaonekana kuwa na matumaini, hatua inayofuata inaweza kuwa upimaji wa matibabu katika wanyama ili kuona jinsi inavyoathiri kansa katika viumbe hai na kama ina athari zinazodhuru. Bila shaka, matibabu yanayofanya kazi vyema katika maabara au katika wanyama si lazima yafanyekazi vizuri katika watu. Tafiti hufanywa kwa kutumia wagonjwa wa saratani ili kutambua ikiwa matibabu yanayoonyesha uwezo wa kufanya kazi ni salama na bora.
Wagonjwa wanaoshiriki wanaweza kusaidiwa na matibabu wanayoyapokea. Wao hupata huduma za kisasa kutoka kwa wataalamu wa kansa, na wao hupokea ama matibabu mapya yanayofanyiwa majaribio au matibabu bora zaidi ya kawaida yanayopatikana ya kansa wanayougua. Wakati uo huo, matibabu mapya pia yanaweza kuwa na hatari zisizojulikani, lakini kama matibabu mpya yanaonekana kufanya kazi vyema au zaidi zaidi ya matibabu ya kawaida, wagonjwa wa utafiti wanayoyapokea wanaweza kuwa kati ya watu wa kwanza kunufaika. Hakuna thibitisho kwamba matibabu mapya yanayofanyiwa majaribio au matibabu ya kawaida yataleta matokeo mazuri. Katika watoto walio na kansa, utafiti wa majaribio ulipata kwamba wale waliojiunga na majaribio hawakuwa kwa wastani na nafasi ya kuwa katika hali bora au mbaya zaidi ya afya wakilinganishwa na wale waliokuwa wakipokea matibabu ya kawaida; jambo hili linathibitisha kwamba kufanikiwa au kutofanikiwa kwa matibabu ya majaribio hakuwezi kutabirika.[10]

Matibabu ya kukamilishana na ya mbadala

Matibabu ya kukamilishana na mbadala (CAM) matibabu ni makundi tofauti ya mifumo ya huduma, weledi na bidhaa za kimatibabu na afya, ambazo si sehemu ya dawa za kisasa.[11] "Dawa za ziada" zinarejelea njia na vitu vinavyotumika pamoja na dawa za kisasa, wakati "dawa mbadala" zinarejelea michanganyiko inayotumika badala ya dawa za kisasa.[12] Matumizi ya CAM ni jambo la kawaida miongoni mwa watu walio na kansa; utafiti wa mwaka wa 2000 ulipata kwamba asilimia 69 ya wagonjwa wa kansa walikuwa wametumia matibabu ya CAM, angalau mara moja, kama sehemu ya matibabu yao ya kansa.[13] Madawa mengi ya kansa ya kukamilishana na mbadala hayajafanyiwa utafiti au majaribio ya kina. Baadhi ya madawa mbadala ambayo yamechunguzwa na kudhahirishwa kuwa hayafanyi kazi huendelea kuuzwa na kukuzwa.[14]

Katika mimba

Matukio ya kansa kuwepo kwa wakati mmoja na mimba yameongezeka kutokana na kuongezeka kwa umri wa mama wajawazito[15] , na kutokana na ugunduzi wa kuwepo kwa uvimbe katika mama wajawazito wakati wa majaribio yanayofanywa kabla ya mtoto kuzaliwa.
Matibabu ya kansa yanahitaji kuchaguliwa ili kupunguza madhara kwa mama na mtoto wake. Katika baadhi ya matukio kutolewa kwa mimba kwa sababu za kimatibabu kunaweza kupendekezwa.
Matibabu kwa njia ya eksirei kwa jumla hayawezi kutumika, na daima tibakemo huwa na hatari ya kusababisha kuharibika kwa mimba na ulemavu wa kuzaliwa nao.[15] Ni mambo machache sana yanayojulikana kuhusu madhara yanayosababishwa na madawa kwa mtoto.
Hata kama dawa fulani imechunguzwa na kuonekana kuwa haipiti kondo na kumfikia mtoto, aina zingine za saratani zinaweza kudhuru kondo na kuifanya dawa kupita // kupenyeza.[15] Aina fulani za saratani ya ngozi zinaweza hata enea hadi kwa mwili wa mtoto.[15]
Utambuzi pia hufanywa kuwa mgumu zaidi, kwani tomografia kwa kutumia compyuta haiwezekani kwa sababu ya kipimo chake cha mnururisho kilicho juu. Hata hivyo, upigaji picha kwa kutumia mwangwi wa sumaku hufanya kazi kama kawaida.[15] Hata hivyo, vyombo vinavyohitilafiana haviwezi kutumiwa, kwani huwa vinavuka kondo.[15]
Kutokana na matatizo ya kufanya utambuzi mzuri na matibabu saratani wakati wa ujauzito, njia mbadala ni ama kufanyiwa upasuaji wakati mtoto ametimiza kiwango cha kujitegemea ili kuanza matibabu ya kina zaidi ya kansa, au, kama kansa ni mbaya kiasi kwamba mama hawezi kusubiri kwa muda huo wote, basi mimba hutolewa ili kuitibu kansa hiyo.[15]

Tiba katika utero

Uvimbe wa kijusi wakati mwingine hutambuliwa wakati bado uko katika utero. Teratoma ndiyo aina ya kawaida zaidi // hujitokeza sana ya uvimbe wa kijusi, na kwa kawaida huwa si hatari.

Nishati ya "ultrasound"

Nishati ya "ultrasound" inafanyiwa utafiti kama aina ya matibabu