Friday, July 13, 2012

MWANAMKE ANAMILIKIWA HIVI. ATAKUPENDA DAIAM

WAWEZA KUMMILIKI MWANAMKE KWA HIVI
1. Tambua mwanamke uliyenaye ana tabia gani,anapenda nini na anachukia nini.Mpe anachopenda na usifanye asichopenda
2. Mpe attention maana wanapenda,na ni wote,ukiona Mwanamke hataki attention yako jua kuna jamb nyuma ya pazia au wewe ni 2nd choice
3.Surprise her! Hakuna Mwanamke hapendi surprise,bado sijaona,na anayejifanya hapendi anazuga tu...Na wala surprise yenyewe wala haitakiwi na sio lazima iwe expensive ndo iwe surprise...Ile feeling kwamba My boy amenikumbuka out of nowhere wins a lot....Ukienda mahali ukakuta kitu kizuri,buy for her...buy her a gown,buy her shoes..buy her earings...buy her a nice watch..
4.Be proud of her ukiwa around marafiki zako.Atajisikia vibaya kama humtambulishi,ataanza kuhisi yupo uliyemtambulisha ndo maana yeye unampotezea
5.Mtambulishe kwa ndugu zako,hata kama hujampeleka kwa wazazi
6. Epuka ugomvi unnecessarily...Wanawake ni watu wa kumind vitu vidogo na sometime unaweza ukashangaa,hata hiki amemind??
7.Mpe hela asipotegemea.
8.Mbusu mahali asipotegemea....Tembea nae kwa uhuru na umpe uhuru wa kukushika...Nenda nae outings sehemu romantic,for a dinner or lunch....Kuna mahali ha-expect wewe utambusu,mbusu hapo!Atashangaa
kwa njia hizi haendi popote

No comments: